Jimbo la Algeria From Wikipedia, the free encyclopedia
Béjaïa (wakati wa ukoloni wa Ufaransa ulijulikana kama Bougie au Bugia[1]) ni mji wa bandari kwenye ghuba ya Béjaïa nchini Algeria; ni mji mkuu wa Wilaya ya Bejaia, Kabylia. Béjaïa ni mji mkubwa zaidi unaotumia lugha ya Tamazight.
Mji huo unatazamana na mlima Yemma Gouraya ambapo mwonekano wake unafananishwa na umbo la mwanamke aliyelala. Maeneo mengine ya karibu ni pamoja na pwani ya "Aiguades" na "Pic des Singes" (Monkey Peak); hapo wako nyani aina ya Barbary Macaque walio hatarini kukoma. Sehemu hizo zote ziko katika Hifadhi ya Kitaifa ya Gouraya. Mto Soummam unapita katikati ya mji.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.