Mbilimbi au mbirimbi (Averrhoa bilimbi) ni mti unaozaa mabilimbi. Mti huu unatoka Asia na umepandwa sana katika kisiwa cha Unguja (Zanzibar).

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mbilimbi
(Averrhoa bilimbi)
Thumb
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Oxalidales (Mimea kama mbilimbi
Familia: Oxalidaceae (Mimea iliyo mnasaba na mbilimbi)
Jenasi: Averrhoa
L.
Spishi: A. bilimbi
L.
Funga

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mbilimbi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.