Austin, Texas
From Wikipedia, the free encyclopedia
Austin ndiyo mji mkuu katika jimbo la Texas. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.7 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 149 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Austin | |
Mahali pa mji wa Austin katika Marekani |
|
Majiranukta: 30°18′2″N 97°44′50″W | |
Nchi | Marekani |
---|---|
Jimbo | Texas |
Wilaya | Travis Williamson Hays |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 743,074 |
Tovuti: http://www.ci.austin.tx.us/ |
Funga