![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1c/Assimi_Goita%252C_August_2021_%2528cropped%2529.png/640px-Assimi_Goita%252C_August_2021_%2528cropped%2529.png&w=640&q=50)
Assimi Goïta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kanali Assimi Goïta (amezaliwa 1983 hivi) ni afisa wa jeshi la Mali na kiongozi wa Kamati ya Kitaifa ya Wokovu wa Watu, mamlaka ya kijeshi ambayo ilichukua madaraka kutoka kwa Rais wa zamani Ibrahim Boubacar Keïta katika mapinduzi ya Mali ya mwaka 2020.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1c/Assimi_Goita%2C_August_2021_%28cropped%29.png/320px-Assimi_Goita%2C_August_2021_%28cropped%29.png)