Artvin
From Wikipedia, the free encyclopedia
Artvin ni mji uliopo kaskazini-mashariki mwa nchi ya Uturuki, ambao pia upo katika Mto Çoruh karibu kabisa na mpaka wa nchi ya Georgia. Huu ni mji mkuu wa Mkoa wa Artvin.
Artvin ni mji uliopo kaskazini-mashariki mwa nchi ya Uturuki, ambao pia upo katika Mto Çoruh karibu kabisa na mpaka wa nchi ya Georgia. Huu ni mji mkuu wa Mkoa wa Artvin.