Amman
From Wikipedia, the free encyclopedia
Amman (kwa Kiarabu: عمان ʿammān) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Yordani wenye wakazi milioni nne katika rundiko la mji.
Ukweli wa haraka Habari za msingi, Mahali ...
Amman nchini Yordani | |
Mkoa | Mkoa wa Amman |
Anwani ya kijiografia | Latitudo: 31º57'00" N - Longitudo: 035º 55' 59" E |
Kimo | 773 m juu ya UB |
Eneo | ?? km² |
Wakazi | milioni 4 |
Msongamano wa watu | watu 2,380 kwa km² |
Simu | +962 (nchi), 6 (mji) |
Mahali | |
Funga