Ali ibn Abu Talib
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ali Ibn Abu Talib (Kar.: علي ابن أبي طالب * mnamo 600 BK Makka - + Januari 661 Kufah / Irak) alikuwa mkwe wa mtume Muhammad, khalifa wa nne wa Uislamu na imamu wa Shia wa kwanza. Alikuwa pia baba wa wajukuu wa pekee wa mtume.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/3/3a/Imam_Ali.jpg)
Aheshimiwa na Washia kama mfuasi wa kweli wa pekee wa mtume.