![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/6f/Flag_of_the_Central_African_Republic.svg/langsw-640px-Flag_of_the_Central_African_Republic.svg.png&w=640&q=50)
Jamhuri ya Afrika ya Kati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jamhuri ya Afrika ya Kati (kwa Kisango Ködörösêse tî Bêafrîka) ni nchi ya bara bila pwani katika Afrika ya Kati.
| |||||
Lugha rasmi | Kisango, Kifaransa | ||||
Mji Mkuu | Bangui | ||||
Mji Mkubwa | Bangui | ||||
Serikali | Jamhuri | ||||
Rais | Faustin-Archange Touadéra | ||||
Eneo | km² 622,984 | ||||
Idadi ya wakazi | 3,895,139 (2018) | ||||
Wakazi kwa km² | 6.25 | ||||
Uchumi nominal | Bilioni $2.003 | ||||
Pesa | CFA frank (XFA) (Frank ya Afrika ya Kati) | ||||
Kaulimbiu | "Umoja, Heshima, Kazi" | ||||
Wimbo wa Taifa | E Zingo (Uamsho mpya) | ||||
![]() |
Imepakana na Chadi upande wa kaskazini, Sudan na Sudan Kusini upande wa mashariki, Jamhuri ya Kongo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa kusini na Kamerun upande wa magharibi.