![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/80/Death_Penalty_World_Map.svg/langsw-640px-Death_Penalty_World_Map.svg.png&w=640&q=50)
Adhabu ya kifo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Adhabu ya kifo ni mauaji ya mwanadamu yanayotekelezwa na serikali baada ya mahakama kutoa hukumu ya mauti kulingana na sheria za nchi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/80/Death_Penalty_World_Map.svg/320px-Death_Penalty_World_Map.svg.png)
Kijani: Adhabu ya kifo wakati wa vita pekee; kichungwa: kuna adhabu ya kifo lakini haikutekelezwa katika miaka 10 iliyopita
Nyekundu:Adhabu ya kifo hutolewa
Kwa kawaida adhabu hiyo inatolewa kwa jinai nzito sana.