Abia (jimbo)jimbo nchini Nigeria / From Wikipedia, the free encyclopedia Abia ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye wakazi milioni 4.2 (2005) na eneo la km² 5,834. Mji mkuu ni Umuahia na mji mkubwa Aba wenye wakazi 900,000. Ramani. Abia.
Abia ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye wakazi milioni 4.2 (2005) na eneo la km² 5,834. Mji mkuu ni Umuahia na mji mkubwa Aba wenye wakazi 900,000. Ramani. Abia.