Mmisionari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mmisionari (au Mwanamisheni) ni mtu wa dini fulani ambaye anafanya kazi ya kuieneza kwa wasio waumini wa dini hiyo. Kwa kawaida mhusika ni Mkristo, lakini si lazima.

Jina linatokana na neno la Kilatini missio lenye maana ya utume (kutuma au kutumwa).[1]
Mara nyingi, kazi hiyo inakwenda sambamba na utoaji wa huduma za kijamii, hasa elimu, afya, utetezi wa haki[2], maendeleo katika uchumi n.k.[3][4]
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.