UNODC
From Wikipedia, the free encyclopedia
UNODC ni kifupisho cha United Nations Office on Drugs and Crime yaani "Ofisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mihadharati na Jinai".
Makao makuu yako Vienna, Austria.
UNODC ni kifupisho cha United Nations Office on Drugs and Crime yaani "Ofisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mihadharati na Jinai".
Makao makuu yako Vienna, Austria.