Mpera
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mpera (Psidium guajava) ni mti mdogo wa familia Myrtaceae.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mpera (Psidium guajava) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mpera | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga
Matunda yake huitwa mapera. Asili yake ni Amerika ya Kati na ya Kusini, lakini siku hizi unapandwa mahali pengi pa kanda za tropiki na nusutropiki.
Mti wa mpera unatoa dawa ya magonjwa mbalimbali, yakiwemo kifua, tezi dume, nguvu za kiume, fizi, chunusi, n.k. Kwa ajili hiyo hatua ya kwanza unachukua majani ya mpera, unayasaga na kuyakausha, halafu weka maji na yachemshe majani ya mpera yaani kama chai. Baadaye chukua chupa ili uhifadhi tayari kwa matumizi. Pia majani ya mpera yanaponesha kisukari na kutibu wanawake walio na hedhi.