Muhogo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Muhogo (Kiing. cassava) ni mmea wa jenasi Manihot na chakula muhimu katika Afrika, Amerika Kusini na nchi za Asia Kusini. Sehemu ya kuliwa ni hasa viazi vyake (mizizi minene au mahogo) vilivyo na wanga nyingi halafu pia majani yake yenye protini na vitamini.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Muhogo (Manihot esculenta) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Muhogo | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Funga