Idd el Hajj
From Wikipedia, the free encyclopedia
Idd el Hajj (pia: Idi el haji, eid el hajj) ni sikukuu ya Uislamu wakati wa mwezi wa Dhul Hijjah ambao ni mwezi wa Hajj. Sherehe hii inatunza kumbukumbu ya sadaka ya Ibrahimu.
Idd el Hajj (pia: Idi el haji, eid el hajj) ni sikukuu ya Uislamu wakati wa mwezi wa Dhul Hijjah ambao ni mwezi wa Hajj. Sherehe hii inatunza kumbukumbu ya sadaka ya Ibrahimu.