Hierapoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hierapoli ilikuwa mji wa ustaarabu wa Ugiriki ya Kale katika Asia Ndogo (Uturuki wa leo).
Maghofu yake yako karibu na maji ya moto ya Pamukkale. Hierapoli pamoja na Pamukkale huhesabiwa kati ya mahali pa urithi wa dunia.