Backgammon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Backgammon ni mchezo wa ubao unaochezwa na watu wawili. Kila mchezaji anatembeza kete zake kwenye ubao. Anatumia dadu 2 kuamulia idadi ya hatua kwa kila kete. Mshindi ni huyu anayemaliza kupeleka kete zote hadi mwisho wa njia na kutoka ubaoni.
Wachezaji wanatofautishwa kwa rangi ya kete ambazo kwa kawaida ni nyeusi na nyeupe.